CHASHA FARMING
JF-Expert Member
- Jun 4, 2011
- 7,872
- 9,263
Wakuu kama kuna anaye hitaji hizi Mashine basi tuwasiliane, ni Made in China ila zina Ubora mzuri sana katika kutotoresha Mayai na unaweza totoresha mayai ya Kuku, Kanga, Bata, na Hata Ndege
Feature zake
1. Ni Automatic, means inageza Mayai yenyewe, ina contro joto na ina alamu ya kukualifu kama Joto au Humidity imezidi au kupungua kiwango kinacho takiwa
2. Haina kelele, Iko kimya
3. Inaweza Fanya kazi muda mrefu
4. Uwezo wa kutotoa ni 96%
5. Ina saa ya kukuwezesha kuseti ni muda unao taka igeuze mayai: Mfano unaweza seti ikawa inageuza kila baada ya masaa 5
6. Nguvu zake
- 100W
-110V , 220- 240 V
7. Vitu kama Joto na Humudity inayo takiwa vinategemeana na sehemu uliko, Mfano Dar au sehemu zenye Baridi kama Mbeya, hutofautiana
Ukijaribu kutazma kwa umakini utaona kuna sehemu ya Kuhesabu Siku ambazo uliweka Mayai, Masaa, Humidity% na joto C, na kwa juu kabisa kuna Air Vent kati kati ya hayo matundu makubwa
Muenakano wake kwa Ndani, Tray yake inabeba mayai ya saizi zote, na Hicho kidude Cheupe ndo kifaa ya kugeuzia mayai
Bei yake ni Tsh 450,000/
Unaweza ni Call kwnye hii namba 0783691072
KATIKA MATUMIZI YA HIZI INCUBATORS KUNA MAMBO Y KUZINGATIA
1, Eneo ulipo wewe mfano sehemu zenye Joto au Baridi kari
3. Mayai unayo tumia
3. Kuhakikisha maji hayaishi kwenye mashine make yakiisha tu mayai yata kauka
4. Kugeza mayai ndani ya siku ya 1-18
5. Kuhakikisha kiwango cha Humidity na Joto ziko sawa
Feature zake
1. Ni Automatic, means inageza Mayai yenyewe, ina contro joto na ina alamu ya kukualifu kama Joto au Humidity imezidi au kupungua kiwango kinacho takiwa
2. Haina kelele, Iko kimya
3. Inaweza Fanya kazi muda mrefu
4. Uwezo wa kutotoa ni 96%
5. Ina saa ya kukuwezesha kuseti ni muda unao taka igeuze mayai: Mfano unaweza seti ikawa inageuza kila baada ya masaa 5
6. Nguvu zake
- 100W
-110V , 220- 240 V
7. Vitu kama Joto na Humudity inayo takiwa vinategemeana na sehemu uliko, Mfano Dar au sehemu zenye Baridi kama Mbeya, hutofautiana
Ukijaribu kutazma kwa umakini utaona kuna sehemu ya Kuhesabu Siku ambazo uliweka Mayai, Masaa, Humidity% na joto C, na kwa juu kabisa kuna Air Vent kati kati ya hayo matundu makubwa
Muenakano wake kwa Ndani, Tray yake inabeba mayai ya saizi zote, na Hicho kidude Cheupe ndo kifaa ya kugeuzia mayai
Bei yake ni Tsh 450,000/
Unaweza ni Call kwnye hii namba 0783691072
KATIKA MATUMIZI YA HIZI INCUBATORS KUNA MAMBO Y KUZINGATIA
1, Eneo ulipo wewe mfano sehemu zenye Joto au Baridi kari
3. Mayai unayo tumia
3. Kuhakikisha maji hayaishi kwenye mashine make yakiisha tu mayai yata kauka
4. Kugeza mayai ndani ya siku ya 1-18
5. Kuhakikisha kiwango cha Humidity na Joto ziko sawa