matunduizi
JF-Expert Member
- Aug 20, 2018
- 7,968
- 19,368
Tulikutana Pyramid Bar and Lounge na tukajuana ilikuwa Desemba 17 kwa kweli lilikuwa ni jambo zuri sana.Aiseee. Nilipotea tangu August.
Naomba uzi hui
HahahaTunapenda kukutana mkuu ila jinsi ya kuziacha sura zetu sehemu halafu tuje na miili peke yake ndio inakuwa ngumu...
Du!!!!Toka hapo nje ulipo utakayekutana naye ndio Mwana JF
Shkamoo Joanah.Kuonana na watu humu ndio kipimo cha upendo e?
Shkamoo Joanah.
Aiseee 🤣🤣Unanipa shikamoo unataka kuninyima nini?!
Itabidi tukutane nao Kasulu hapa[emoji123][emoji123]Wasiojulikana wanaufatilia huu uzi kwa umakini usiomithilika.