matunduizi
JF-Expert Member
- Aug 20, 2018
- 7,968
- 19,368
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]Kwanza uko msafi? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
itachukuwa siku ngapi?Sadc
Sifahamu bado.itachukuwa siku ngapi?
oga piga pass nguo vizuri uhakikishe hazina kunguni alafu nenda mkutanoni.kila nikisikia nasikia fursa kubwakubwa tu.
mfano mimi na kupangisha watu hotelini wapi na wapi.
naombeni fursa za kilalahoi, mishentown, kijasiliamali kidogo, kiuongeajiongeaji au connections ninaweza kupata kupitia mkutano huu.
natarajia kuwa mitaa hiyo wiki ijaya.
umofa kwenuu.....
Boss, mbona unanikatisha tamaa eeh !kutoboa kwa kabwela kipindi hiki ni sawa na ngamia kupita kwenye tundu la sindano " NI VIGUMU MNO" fursa zote zinawafuata wenye pesa
mkuu huo ndio ukweli kama huoni basi chunguliaBoss, mbona unanikatisha tamaa eeh !
Tufanyeje sasa boss, maana hapa mwaka wa pili huu natafuta fursa sizioni, kazi sipati. Hebu nipe tumaini ili nianze nalo.mkuu huo ndio ukweli kama huoni basi chungulia
Deal kubwa mjini kuzipata ni lazima uwe mwanachama wa secret society maana ni "member only club";utaishia kuona issue zinafanyika hujawahi sikia hata tangazo.mkuu huo ndio ukweli kama huoni basi chungulia
yaaah mkuu huo ndio ukweliDeal kubwa mjini kuzipata ni lazima uwe mwanachama wa secret society maana ni "member only club";utaishia kuona issue zinafanyika hujawahi sikia hata tangazo.