Ni nani huyo? Mbna hata simfahamu Msuku
Ndo kwanz namsikia hapa, hat sielew lolMsukuma wa nyamadoke
Ndo yule aliimbaga toto party enzi hizo radio one ni mkerewe ila ana udaslam mwingiNdo kwanz namsikia hapa, hat sielew lol
Simjui hata mie lol.Ndo yule aliimbaga toto party enzi hizo radio one ni mkerewe ila ana udaslam mwingi
Yuko vizuri sana mimi naikubali ngoma yake inaitwa niko tayari. Hatari humoDaaah ni moja kati ya wasanii na vocalist wakali mno nchi hii..sijui ni mkongo eeh???Ngoma sake zote nnazo na nikali kibingwa,,ngoma kama Bebe Extra ni balaa,Ngoma kama Upepo kamshirikisha Papii Kocha ni hatari,,ana uandishi wa akili sana pamoja na melody nzuri..
Naona umeamua kuja kujisifia baada ya kuona hatuna time na wwDaaah ni moja kati ya wasanii na vocalist wakali mno nchi hii..sijui ni mkongo eeh???Ngoma sake zote nnazo na nikali kibingwa,,ngoma kama Bebe Extra ni balaa,Ngoma kama Upepo kamshirikisha Papii Kocha ni hatari,,ana uandishi wa akili sana pamoja na melody nzuri..
Duh hivi ni kweli? Ndo yeye?Ndo yule aliimbaga toto party enzi hizo radio one ni mkerewe ila ana udaslam mwingi
Naona umeamua kuja kujisifia baada ya kuona hatuna time na ww
SawaNaona umeamua kuja kujisifia baada ya kuona hatuna time na ww
Mkuu ndo yule dogo wa toto party? Ama kweli nimezeeka nianze kujiandalia utaratibu kwenda kumalizia maisha kijijiniNdo yule aliimbaga toto party enzi hizo radio one ni mkerewe ila ana udaslam mwingi
Mkuu ndo yule dogo wa toto party? Ama kweli nimezeeka nianze kujiandalia utaratibu kwenda kumalizia maisha kijijini