Wakuu Msaada Kuhusu TCU.

EJay

JF-Expert Member
Joined
May 21, 2012
Posts
693
Reaction score
172
Kuna marafiki zangu wawili wamechaguliwa Opening University na sasa wanahitaji kusoma vyuo vya kawaida,watafanye?
 
Waliomba wenyewe kusoma huko open au?
 
Waliomba wenyewe kusoma huko open au?

mmoja aliomba kama kozi namba 5 mwingine namba 4,waliweka kwenye marekebisho ya Elligible and non,wakidhani hawatachaguliwa huko.

Sasa wanaomba msaada wa mawazo namna ya kufanya hebu toeni maoni yenu.
 
Duh!mkuu,me nadhani hili suala ni la kuwaface tcu wenyewe.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…