Wakuu msaada kwa anaye jua aina za u architecture ambao unalipa sana na upatikanaji wake wa ajira

Ben bizzoh

Senior Member
Joined
Dec 28, 2013
Posts
121
Reaction score
5
Mimi ni mwanafunzi mwenye matarajio ya kusomea architecture mda si mrefu

Tafadhali naomba mchango wenu wakuu ..kiroho safi 2
 
taifa linaangamia, ajira hakuna, kila mtu anahitaji kazi, hata wa kuzalisha na kutengeneza kazi wanatafuta kazi, nani atengeneze ajira? kama mainjinia wenye dhamana ya kutengeneza ajira nao wanalalamika kuwa hawana ajira
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…