Kama ni original then umepatia:
KAMA NI KAKICHINA:N95 8GB tatizo ni kwamba wachina wasanii sana hyo waliyokuweke hapo 8GB sio ya kweli ni image tuu.wana map say 256MB to 8GB sasa unapojaribu kuweka madata yakizidi 256 tuu inasema disk not ready or no enough space.ukibaki kuishangaa utaamua kuformat ukiiformat tuu hiyo memory inajirudisha kwenye 256MB na ile andiko la kuigiza 8Gb linafutika kabisa.
Hi ni sawa kabisa na memory stick(_flush disk 0za kichina ,mnatapeliwa eti 10Gb kwa elfu 15 no its imposible.wachina wanakupa hata 128Mb wana i map to 10Gb we utaishtukia tuu pale utakapoweka madata yapitilize hiyo 128 utaskia kamlio ntiiiiiiiiii disk is full.format then utaona total space ya disk yako inakuwa 128 badala ya 10Gb.
Kuna siku nilikuwa china,nikatawa nahtaji ka ipod ka sony.mchina mmoja akaniaonyesha ipod ya kichina nikamwambia mimi nataka sony basi akaingia ndani akatoka na lebel akabandika ile ipod kwa juu akaniambia tayari ni sony.Tangu siku hiyo siwaamin wachina NUKSI TUPU.