Usiwe Mtu wa kufuga Nywele za KWAPA.
Jitahidi kufuta Nywele za KWAPA mara kwa mara kila zinavyoota.
Kila unapoenda kuoga sugua MAKWAPA yako na povu jingi la Sabuni.
Na ukishamaliza kuoga hakikisha unajikausha vizuri MAKWAPA yako, kisha tafuta kipande cha NDIMU au LIMAO ujipakaze kwenye MAKWAPA yako.
Kama bajeti yako inakuruhusu ukimaliza kuoga, jikaushe vizuri MAKWAPA yako kisha charazia DEODORANT.
Na sio MAKWAPA tu, na sehemu za siri pia jitahidi uwe unajikausha vizuri unapotoka kuoga.
Bila ya kusahau kuondoa Nywele za sehemu za siri pia.
Usiwe unaweka/unaacha Msitu