hehehhee.Nakuaminia cheapesoni wangu...........
Sasa tuendelee na mchakato wa kumpeleka mtoto kubeba boksi....
Na BK kadhibitisha huyu mtoto ni damu yetu.
Tutashirikiana tu kuhakikisha haki inatendeka.lakini wewe si ndio stering,mie natoa tu mafungu ya safari.
Na huyu mtoto DNA ni ya muhimu ingawa wanasema kitanda hakizai haramu.........
shem hapo nina uhakika maana kama unavyoniona mimi ndio nayeye hivyohivyo anavyoonekana,kuongea na mamaake huwa mara nyingi hatufikii muafaka ni mbishi na ana visasi,na hapa nimempigia ananiambia anaondoka tena wiki hii kwenda huko china na swala la mtoto kumchukua nisahau.hahaaa kasema eti yeye hawezi kupakaziwa inaelekea mtoto katoka kopi raiti.....
mi nadahani wazungumze tena amicabily na mzazi mwenzie, kama bado ataleta ubishi BAK shemeji umpeleke mzazi mwenzio kwa pilato, mthibitishie mama hawezi kumtunza mtoto vizuri, ananlelewa na mtu mwingine, wewe binafsi una nafasi/uwezo w kumpa mtoto malezi stahiki kama mzazi......
Ok,hakuna shida.mtoto ni mtoto tu as long wewe ndo unajulikana ni baba.[/COLOR][/B]
ok,ni ushauri mzuri ingawa sina wasiwasi kuhusu mtoto mamy.
ndugu yangu kuhusu kutuma pesa natuma za kiasi cha mahitaji tu,na saa nyingine hazifiki hilo nalijua,ukituma huyo mwanamke anafanyia mambo yake mengine,kuhusu nyoka mkuu mwanamke ni shetani kabisa aliyonifanyia mengine nikisimulia hapa ni hadithi nzito yenye machungu mengi sana,angekua mtu mwingine sidhani kama hata angeongea nae tena maisha.Mkuu pole sana, huyo m/mke ulozaa nae hafai. Ni nyoka mbaya sana! Piga yeye chini. Kuhusu mtoto hapo ukiwa kama baba mzazi we msaidie tu. Tuma pesa kama kawaida. Mtoto akikua ataujua ukweli na itakuwa ni juu yake kuchagua! Kwasasa mpe malezi yote ukiwa kama baba yake.
**********
Ushauri : mkuu uwe unaweka paragraph ili iwe ni rahisi kusomeka! Pia tumia font size kubwa 'size 3 is ok'
Ok,hakuna shida.mtoto ni mtoto tu as long wewe ndo unajulikana ni baba.
Ila nadhani suhapata mwanga pa kuanzia.Mie naongezea kuwa kama kurudi meza moja kuongea na mzazi mwenzio itakuwa shida basi wasirikishe wazazi wenu katika huo mjadala.Mazungumzo yakigoma wahi Custody Mahakani.Kwa kesi yako inaonekana ishu nyepesi.
naweza fanya hivyo ila hapo nijiandae kwa lolote maana anaweza kuzua jambo lolote la ajabu .ajabuOk,hakuna shida.mtoto ni mtoto tu as long wewe ndo unajulikana ni baba.
Ila nadhani suhapata mwanga pa kuanzia.Mie naongezea kuwa kama kurudi meza moja kuongea na mzazi mwenzio itakuwa shida basi wasirikishe wazazi wenu katika huo mjadala.Mazungumzo yakigoma wahi Custody Mahakani.Kwa kesi yako inaonekana ishu nyepesi.
sio hela tu hata hapa umo......duh!!!
kiukweli mi sioni complications hapa, huyo mwanamke jeuri dawa yake kwa pilato tu....unamaliza unasepa na kijana wako .....
ole wako mama w akambo awe ndivyo sivyo na wewe shem..BK
Tatizo hapa mama yake mzazi wa mtoto ni kirukaruka.na huyo mtoto anahitaji kujengewa future nzuri mapema.mie naona ni bora afanye la kufanya amchukue mtoto amtunze.
Usiende peke yako au msiwe ninyi peke yenu wawili.Tafuta rafiki.ndugu kama wawili unaowaaminia na wazee wa busara uwe nao wakati wa mazungumzo.naweza fanya hivyo ila hapo nijiandae kwa lolote maana anaweza kuzua jambo lolote la ajabu .ajabu
naweza fanya hivyo ila hapo nijiandae kwa lolote maana anaweza kuzua jambo lolote la ajabu .ajabu
hapo usitie shaka mama yake wa kambo mtu poa sanaa hana noma kabisa.
[/COLOR][/FONT]
ukienda kukutana nae, hakikisha mnakutana sehemu ambayo hawezi kukusingizia chcochote kibaya maana anaonekana mtunzi mzuri wa kwsi huyo
hapo sawa
tena nimeikatisha dear,ningeeleza yote ni kitabu kamili,ingekua vema JF watuwekee jukwaa la hadithi,wengine tuna mikasa mizito moyoni.ila habari yako ndeeefu sana ..babukijana 🙂
Usiende peke yako au msiwe ninyi peke yenu wawili.Tafuta rafiki.ndugu kama wawili unaowaaminia na wazee wa busara uwe nao wakati wa mazungumzo.
Na usiniambie mpka sasa unatumia email na simu kumkonvis mzazi mwenzio?Nadhani kama upo siriaz,rudi nyumbani kwa mkakati rasmi wa kumchukua mwanao.
Dah nilijua tu haitaisha hii tread bila mtu kuhusisha kisa hiki na kabila!! too low!Tabia ya wanawake wakichaga kupenda peleka watoto kwa bibi zao na wao kuponda maraha mjini inanikera sana, utasikia mtoto wangu huyu, anampeleka kwa bibi yake hata km mtoto atakaa tu huko hasomi ili mradi awatenganishe wewe na mtoto wako
hahaaa usijali MekuDah nilijua tu haitaisha hii tread bila mtu kuhusisha kisa hiki na kabila!! too low!