wakuu msaada wenu muhimu hapa

Duh!!! eeebanaeeee...
kuna wanawake wa marangu wako kama pilipili kichaaa!

pole sana mkubwa.
ngoja nitarudi, nahitaji kusali kwanza kabla sijakupa ushauri.
 
hahaaa usijali Meku
tabia ni mtu wala si kabila......
Tabia yako ya kufikiri kwa haraka, na kuwaelimisha watu ndo inayonifanya nifikirie kukununulia tukutuku ya matairi matatu na yenye milango.
 
Tabia yako ya kufikiri kwa haraka, na kuwaelimisha watu ndo inayonifanya nifikirie kukununulia tukutuku ya matairi matatu na yenye milango.

hahaa ile yenye umbo kama yai??
 
Babukijana nimesoma story yako kwanza siamini kama wewe ndio yamekupata haya kwani ina mapungufu mengi sana ya kimawsiliano baina yako wewe na wazazi wa kwako na wa huyo binti pia. Kwa mfano wakati uko nje ya nchi ulishindwa nini kupiga simu kwa wazazi huko Moshi kujua kama kweli mwanao alikuwa Moshi au la?

Pili nikupe pole ya kulazwa polisi several days na huyo mwanamke mpaka umezoea jamani. Mapenzi ni kitu gani
Mapenzi yanatesa
Mapenzi yanaua
Mpenzi kuvumilia?
Mapenzi kizungumkuti
Mpenzi kulalamika
Mapenzi ni laana au baraka?
Ama kweli mapenzi kifo cha nafsi na mwili
 
hii rangi inaumiza macho bana, ibadilishe kwa maslahi ya wanaJF please nakuomba babukijana
 
kwa mara ya kwanza katika maisha,na kanilaza polisi mara tatu.acha za kwenda na kutoka.
 
kwa mara ya kwanza katika maisha,na kanilaza polisi mara tatu.acha za kwenda na kutoka.
Inakuwa kuwa je yani mpaka anakulaza ndani? nachelea kukupa ushauri.
sasa kulala mzungu wa nne, au kulazwa sebuleni si ndo ulikuwa mtindo?
 
ina taambili, sio kama zile nyingine, na ina ac......yani naona utakapo-enjoy

cant wait.....
LOL!!! unaweza ukahakisha kabla Kaizer hajarudi toka kwa bibi?
 
pole sana ulikosea kusikiliza sauti ya Mungu. Alivyokulaza polisi mara ya 1 ilibidi usigeuke nyuma alikuwa anakupa nini unamg'ang'ania hivyo? au ulikuwa unampenda sana mambo kama hayo yanawezekana kwenye ndoa tu ambako ni kugumu kujinasua.
 
kwa mara ya kwanza katika maisha,na kanilaza polisi mara tatu.acha za kwenda na kutoka.
Pole sana Mkuu, i real feel sorry for you man. I can feel the pain within your heart man. Jamani haya ndio mapenzi kumlaza umpendaye lupango

Charity mapenzi ni nini?
bht nini dawa ya mapenzi?
Bigirita kwanini mapenzi yansumbua mioyo ya watu?
WOS honera kwa kufikia umri mkubwa na kuvuka viunzi vya mapenzi?
FL1 vijana na wazee wanalizwa na mapenzi
Geoff nini kinga ya mapenzi?
Chrispin wapi mapenzi sahihi?
Nguli mpe babukijana maana ya mapenzi
PakaJimmy wapi yako maoni kuhusu mapenzi
ICU kuna vitanda vya kutosha kutibu mahututi wa ajali za mapenzi?
Invisile mapenzi yamefurika ua yametuama?
 
cant wait.....
LOL!!! unaweza ukahakisha kabla Kaizer hajarudi toka kwa bibi?
imfwacti ninawaona mafundi wanaitest hapa, nikugambire we acha tu, harafu mama koku sijui prado yake ameacha wapi naona anaingia na ravu foo,

boj'o, hebu ngoja nitakupigia, naongea na ryeyemamu kwenye bracbery yangu mara moja!
 
pole sana ulikosea kusikiliza sauti ya Mungu. Alivyokulaza polisi mara ya 1 ilibidi usigeuke nyuma alikuwa anakupa nini unamg'ang'ania hivyo? au ulikuwa unampenda sana mambo kama hayo yanawezekana kwenye ndoa tu ambako ni kugumu kujinasua.
mkuu demu mwenyewe si wakitoto,mamaaa alikua kama mdoli yaani uzuri ule si wa kawaida,na licha ya hivyo nilimpenda saaana,sio kila king"aacho ni dhahabu
ukimuona hutanilaumu.
 
imfwacti ninawaona mafundi wanaitest hapa, nikugambire we acha tu, harafu mama koku sijui prado yake ameacha wapi naona anaingia na ravu foo,

boj'o, hebu ngoja nitakupigia, naongea na ryeyemamu kwenye bracbery yangu mara moja!

mmmh uje umchukue mwanao ukamlee huko na mama koku.....
 
shem pale nilikwama kiaina sijawahi kupenda namna ile daaah.

pole shem
apparently wengi wetu tunapitaga hapo....kisa tunakuwa tumejifunza
sasa umempata wako, mshukuru Mungu...
pamoja na uzuri wake you were not destined kuwa pamoja....
 
Easy kwao si ni marangu? waone wazee wa kule then itategemea na wewe ni wa wapi.finally utapewa kid wako.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…