Reaserch proposal ya kiswahii ni tungo tata.
Una maana research propasal ya subject/mada ya kiswahili au ni reserch propsal ya siasa au Historia ya sayansi ya magonjwa au ya mada yoyote ile iliyoanadikwa kwa ugha ya kiswahili.
Wahtaver the case just google proposa template/samples ya mada kuu unayotafuta kwa kingereza then utaitafsisri na kuichakauchua iendane na unchotaka. Kama alivyodai madu hapo juu kama huna muda na una pesa inatafuta matumizi basi sema dau.
NB
Kumbuka proposal ya kiswahili ya kuazisha bishara ina tofauti na proposal ya kiswahili ya utafiti wa wa historia au ya utafiti wa sayansi. Japo dhumuni ya Proposal ni lile lile kwa zote