esir hayatou
Member
- Aug 24, 2013
- 12
- 0
Nahitaji kujenga nyumba kwa sasa,idadi ya vyumba ni vinne, jiko, store, public toilet,vyote ndani kwa ndani" msaada unahitajika hapa
1:kwa makadirio ya jumla niandae tsh. ngapi mpaka nyumba kukamilika.
2:kwa wale wataalam wa kupaua(kupiga bati) ni kiasi gani cha bati kitahitajika hapo, just by makadirio tu.bila kusahau idadi ya mbao.
Ni hayo tu wakuu eneo la ujenzi lipo Tanga mjini.
1:kwa makadirio ya jumla niandae tsh. ngapi mpaka nyumba kukamilika.
2:kwa wale wataalam wa kupaua(kupiga bati) ni kiasi gani cha bati kitahitajika hapo, just by makadirio tu.bila kusahau idadi ya mbao.
Ni hayo tu wakuu eneo la ujenzi lipo Tanga mjini.