Junior Lecturer
JF-Expert Member
- Jan 26, 2013
- 913
- 582
Mimi ni mtumishi waidara flani.ni mwaka wa nne sasa kazini.
Nime amua kurisiti mtihani wa kidato cha 4 mwaka huu,nanimesha ripa karo ya mtihani,
baada ya matokeo kutoka nduguzangu wana nishauri niachekufanya mtihani badala yake nianze ceti namie ndoto yangu ni kuwa MWANASHERIA.
Ushauri wenu tafadhari
je nizibe masikio au ni zibue?
Nime amua kurisiti mtihani wa kidato cha 4 mwaka huu,nanimesha ripa karo ya mtihani,
baada ya matokeo kutoka nduguzangu wana nishauri niachekufanya mtihani badala yake nianze ceti namie ndoto yangu ni kuwa MWANASHERIA.
Ushauri wenu tafadhari
je nizibe masikio au ni zibue?