Wakuu nahitaji kujua eneo lenye wajasiriamali wadogo wadogo wengi

Wakuu nahitaji kujua eneo lenye wajasiriamali wadogo wadogo wengi

Mangole Valles Michael

JF-Expert Member
Joined
May 30, 2021
Posts
338
Reaction score
683
Wakuu habarini za leo, nahitaji kufaham kiji-senta kilicho changamka au mji mdogo ambao unawajasilia Mali wadogo wadogo wanao uza chakula, chips, wamama wanye magenge ya vyakula.

Ki miji hicho kiwe kinajiendesha kibiashara kila siku kisiwe watu wake wanasubiri mavuno ili wafanye biashara. Kama unafaham ki senta au ki mji Cha Aina hii pls comment location yake, usisahau mkoa na wilaya.
 
Ungetwambia unataka kufanya biashara gani ingekuwa poa
 
Unataku kuwaletea fursa gani mkuu? Unahisi itawasaidia? Why unahitaji sehemu iliyochangamka?
 
Mkuu mm nahitaji kutoa huduma ya mkopo kwa watu hawa, nahitaji sehem iliyo changamka kwa sababu ya mzunguko wa biashara ili wateja wengi wasiwe wasumbufu kurejesha.

Sent using Jamii Forums mobile app
Ok nice ila ni sehemu gani specifically unatarget? Mfano kikundi kipo Musoma na wewe upo Dar maybe utakua tayari?, securities zao itakua nini? Riba asilimia ngapi?

Umejaribu kucheki hapo mtaani kwenu kwanza kabla hujaendelea kwa wengine hata waliombali na wewe?
 
Dodoma zipo nyingi hizo center kwa kuanzia, Nzuguni kwa masista, sabasaba nk.
 
Ok nice ila ni sehemu gani specifically unatarget? Mfano kikundi kipo Musoma na wewe upo Dar maybe utakua tayari?, securities zao itakua nini? Riba asilimia ngapi?

Umejaribu kucheki hapo mtaani kwenu kwanza kabla hujaendelea kwa wengine hata waliombali na wewe?
Nimetarget sehem senta au ki mji kidogo ambacho kina wajasilia Mali wadogo wadogo.

Mimi sitakopesha kikundi Wala mtumishi wa serikalini, mm nitamkopesha mjasilia Mali ambapo mkopo wake wa kwanza utakua ni sh 50 elfu liba ya mkopo Ni 10%

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom