Wakuu nahitaji kujua translation ya kitabu kwa ukurusa mmoja inaweza kugharimu kiasi gani

Wakuu nahitaji kujua translation ya kitabu kwa ukurusa mmoja inaweza kugharimu kiasi gani

sirajj johnn

JF-Expert Member
Joined
Apr 5, 2017
Posts
1,540
Reaction score
865
Husika na kichwa cha habari hapo juu nilikuwa nahitaji kujua translation yani kubadilisha maneno ya kingereza kwenda kwenye kiswahili kwa ukurusa mmoja inaweza kugharimu kiasi gani cha fedha shukran sana
 
Husika na kichwa cha habari hapo juu nilikuwa nahitaji kujua translation yani kubadilisha maneno ya kingereza kwenda kwenye kiswahili kwa ukurusa mmoja inaweza kugharimu kiasi gani cha fedha shukran sana
Kuna vijana wanafanya iyo kazi, elfu 10 kwa kila page. Nicheki pm nikuunganishe nao
 
Ukurasa mmoja mara nyingi huwa na maneno 1500-1700 hivi kutegemeana na aina ya font pamoja spacing yake, Freerancer wengu hufanya kwa 0.6$ mpaka 1.5$ kwa page,kama utapendezewa utapata translators wengi hapa www.upwork.com na utajichagulia anayekufaa
 
Husika na kichwa cha habari hapo juu nilikuwa nahitaji kujua translation yani kubadilisha maneno ya kingereza kwenda kwenye kiswahili kwa ukurusa mmoja inaweza kugharimu kiasi gani cha fedha shukran sana
[emoji121]
MKUU,

NAWEZA KUKUFANYIA HIYO KAZI KWA ELFU 2 UKURASA MATINI YA KAWAIDA,

ELFU 3 MATINI ZA KISAYANSI NA TAALUMA ZINGINE.

ND'O MAMBO YANGU HAYO.
 
Vipi na sisi tunao tafuta ma editors, nao sh.ngapi!?
 
Back
Top Bottom