RunX iko mkao sanasijui kwann siipendi hiyo gari, natamani achukue Runx
Acha kumdanganya mvuta bangeChukua Toyota Wish ndio kidogo itakufaha ,hizo nyingine ni vidogo sana(RunX,Raum) ,Xtrail usijaribu maana Wese litakausha mfuko wako!!
[emoji3][emoji3]sio sizai tena, sema huzalishi tena???Huzai tena
Sina uzoefu na kuagiza mkuu...nataka nichukue used hapa hapa bongoBajeti ndogo hyo huwezi pata gari used Japan ongeza mil.2 uagize nje ya nchi ka spacio, run x, au x_trial
Fuel consumption ya x trail ipoje mkuuSpacio ni gari nzuri Sana hata umbo lake siyo baya Kama la wish.ILA KAMA UKO VIZURI KIUCHUMI CHUKUA NISAN X TRAIL mafuta iko juu kidogo na service yake na vifaa vyake pia viko juu Ila haviharibiki haraka
Auris n nzuri sema bei budget yangu ni ndogoBoss chukua toyota Auris, hautojuta
[emoji3][emoji3]du sasa kama 20km gari inachemka, sasa Mimi safari zangu za dar to njombe ntatoboa kweli...Kati hizo nimewahi tumia Wish na spacial Sitakaa nizisahau . Utumiaji wake mafuta kawaida but hazipendi Adha yan ukiituma zaidi ya km 20/30 inachemka vibaya service inakuhusu. Na pia ukiingia road za vumbi kwenye mawemawe utafurahi mwenyewe na ole wako pawe na matope. Zilichonikera zaidi hazitaki mizigomizigo yan ni special kwa round sasa kwa sisi wanakijiji tushazoea ukienda sehem ukikuta mbuzi ina bei nzuri unabeba, ukikuta mkaa unafunua siti unapakiza, ukikuta mihogo twende.
Siyo hayo magari yalikua mabovu kweli? Yaani 20km gari inashika moto na ukahisi ni model nzima iko hivyo siyo kwamba gari zilikua na shida?Kati hizo nimewahi tumia Wish na spacial Sitakaa nizisahau . Utumiaji wake mafuta kawaida but hazipendi Adha yan ukiituma zaidi ya km 20/30 inachemka vibaya service inakuhusu. Na pia ukiingia road za vumbi kwenye mawemawe utafurahi mwenyewe na ole wako pawe na matope. Zilichonikera zaidi hazitaki mizigomizigo yan ni special kwa round sasa kwa sisi wanakijiji tushazoea ukienda sehem ukikuta mbuzi ina bei nzuri unabeba, ukikuta mkaa unafunua siti unapakiza, ukikuta mihogo twende.
Nimepita pita kwenye wesbsite za kijapan za kuuza magari used. nimeona hizi x trail nyingi zinauzwa kuanzia 1500$ mpaka 1800$....kwamfano nikitaka niagize hii gari itanigarimu shingapi mpaka kuitoa pale bandariniBajeti ndogo hyo huwezi pata gari used Japan ongeza mil.2 uagize nje ya nchi ka spacio, run x, au x_trial
Samahani mkuu pale mwanzoni nadhani uliandika kitu kama hiki 'Mimi ni mtanzania mwenye maisha ya kawaida'.Nimepita pita kwenye wesbsite za kijapan za kuuza magari used. nimeona hizi x trail nyingi zinauzwa kuanzia 1500$ mpaka 1800$....kwamfano nikitaka niagize hii gari itanigarimu shingapi mpaka kuitoa pale bandarini
[emoji23][emoji23]ni kweli kabisa mkuu hujakoseaSamahani mkuu pale mwanzoni nadhani uliandika kitu kama hiki 'Mimi ni mtanzania mwenye maisha ya kawaida'.
πππ hio weka mbali na watoto,parts zake ni expensive kiaina kulinganisha na toyota ingawa ni genuine afu pia haliuziku fasta tofauti na toyota lkn ni gari poa sana ukifuata masharti yake.[emoji23][emoji23]ni kweli kabisa mkuu hujakosea
Ukitaka kuagiza gari angalia kwanza budget yako na kodi ya tra ipoje kwa gari husika maana kuanzia January hii kodi za magari zimepanda maradufuNimepita pita kwenye wesbsite za kijapan za kuuza magari used. nimeona hizi x trail nyingi zinauzwa kuanzia 1500$ mpaka 1800$....kwamfano nikitaka niagize hii gari itanigarimu shingapi mpaka kuitoa pale bandarini
1500-1800usd Xtrail au?Nimepita pita kwenye wesbsite za kijapan za kuuza magari used. nimeona hizi x trail nyingi zinauzwa kuanzia 1500$ mpaka 1800$....kwamfano nikitaka niagize hii gari itanigarimu shingapi mpaka kuitoa pale bandarini
Akiliacha bandarini ndo furaha ya jamaa zetu waleeeUkitaka kuagiza gari angalia kwanza budget yako na kodi ya tra ipoje kwa gari husika maana kuanzia January hii kodi za magari zimepanda maradufu
IST saivi kodi yake imefika 6mil kutoka 4mil
Usipokuwa makini unaweza ukaagiza gari ukashindwa kuitoa bandarini
Yaaah1500-1800usd Xtrail au?
Xtrail ya 1800 USD CIF haipoYaaah
Angalia CIFYaaah