hp4510
JF-Expert Member
- Jan 16, 2012
- 7,235
- 7,392
jf mambo vpi?
mimi nilikuwa na mpenzi tumeishi kama miezi mitano sasa kuna siku mpenzi wangu akazikuta msg za demu mwingine kwenye simu yangu akaamua kwenda police na kusema nimemtapeli sh milion tano! hakuna ushahidi wowote na hizo pesa sijachukua kesi iko mahakamani so naitaji wakili tafadhari au ushauri wa kisheria
mimi nilikuwa na mpenzi tumeishi kama miezi mitano sasa kuna siku mpenzi wangu akazikuta msg za demu mwingine kwenye simu yangu akaamua kwenda police na kusema nimemtapeli sh milion tano! hakuna ushahidi wowote na hizo pesa sijachukua kesi iko mahakamani so naitaji wakili tafadhari au ushauri wa kisheria