Wakuu naomba mtu yeyote anikopeshe 3mil





asante,, lakn mkuu mm nataka kwa m2 binafsi coz cna kazi,,,
 
mimi mtum wa umma, mshr laki500, naweza kukupa laki laki kila mwezi

Sasa laki kwa mwaka si 1.2m? Kama upo tayari nakupa mil3 unarudisha 250k kwa mwezi na kiwanja unaweka bondi... Usipolipa michango mi3 consecutive kinakuwa changu na ukirudia mara mbili kutolipa kinakua changu,kama huko tayari ni-PM.
 
ina maana mpaka sasa hivi mdau hujapata mtu wa kukopesha M3? Hapa JF wamezidi masikhara hata hawajali tafuta njia nyingine ya kutatua shida yako.
 
Sasa laki kwa mwaka si 1.2m? Kama upo tayari nakupa mil3 unarudisha 250k kwa mwezi na kiwanja unaweka bondi... Usipolipa michango mi3 consecutive kinakuwa changu na ukirudia mara mbili kutolipa kinakua changu,kama huko tayari ni-PM.

nikupe laki 250 halafu nije nile kwako
 
Reactions: amu
Sasa laki kwa mwaka si 1.2m? Kama upo tayari nakupa mil3 unarudisha 250k kwa mwezi na kiwanja unaweka bondi... Usipolipa michango mi3 consecutive kinakuwa changu na ukirudia mara mbili kutolipa kinakua changu,kama huko tayari ni-PM.

nikupe laki 250 halafu nije nile kwako
 
Reactions: amu
Mkuu unayeomba mkopo, hapa JF huwezi kupata huo mkopo..watz wengi waongo/wadhulumu ndiyo maana kukopeshana kishkaji mwisho wa siku inakuwa uadui kutokana na madeni..

Nenda kwenye institutions zinazotoa mikopo mathalan umejiandaa na kila kitu kinachohitajika kabla ya kuprocess mkopo..uwe mvumilivu tu na hiyo process ili wahakiki kila kitu before kukupatia fweza!
 
asante,, lakn mkuu mm nataka kwa m2 binafsi coz cna kazi,,,

Wewe si ndio ulisema unazo mashine za kila aina?
Mbona unasema tena huna kazi?
Au ulikua unatudanganya kule?
 
pole mkuu kama una dhamana nenda kwenye taasisi za mikopo na baadhi ya mabenki yenye riba nafuu unaweza kupata mkopo. Humu JF utapoteza muda wako tu kila mtu anajifanya mjuaji na analeta kejeli na maneno ya kukuvunja moyo

Umeona eeh? Yaani kama sio waelewa hawajui mtu anapokua serious
 
ina maana mpaka sasa hivi mdau hujapata mtu wa kukopesha M3? Hapa JF wamezidi masikhara hata hawajali tafuta njia nyingine ya kutatua shida yako.

mkuu vp unaweza nn nikuone??
 
nasubiri ukopeshwe na mimi nikope 5ml,nna dhamana ya kutosha....
 

hapo umenena mimi mwenyewe kuna wana JF kama watatu nimeshawakopesha lakini mpaka leo mtu anakaa kimya sijui ustaarabu uko wapi kuna mmoja sasa mwaka hataki hata kupokea simu zangu na PM hajibu yaani mpaka mtu anajitengenezea uadui ni aibu sana
 
pole mkuu kama una dhamana nenda kwenye taasisi za mikopo na baadhi ya mabenki yenye riba nafuu unaweza kupata mkopo. Humu JF utapoteza muda wako tu kila mtu anajifanya mjuaji na analeta kejeli na maneno ya kukuvunja moyo

Nimekukubali, hakika wewe ndo great thinker tunaowatarajia kutoa ushauri humu. Mimi nilitarajia huyu bwana ataelimishwa njia nzuri na sahihi za kupata mkopo, badala yake naona hawa ma-GREAT SINKERS wanaingiza utani.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…