Abbasfarudume
JF-Expert Member
- Feb 14, 2017
- 1,625
- 1,326
- Thread starter
-
- #341
Kisu leo kimegusa mfupa mkuuKweli jomba kuna ubaguzi wa kutosha tunakaa kigumu
Kama wewe ulivyoona na Mimi ndivo nilivyoona kwa watu wengine ndivo nilivyoona kwako mkuuOhooo mkuu huo uchochezi sasa kama ku like na ku comments humu uliza utaambiwa mkuu na comments na ku like sana tu mkuu.
Barikiwa sana mkuu wangu kwa commentsKama like.umpata za kutosha.Wewe ni bingwa wa kubuni.
Lakini hata nyota huoshwaKaribu mkuu tatizo nyota [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Ahsante mkuu na wewe ubarikiwe kwa commentsHahaha dah..
Pole boss...sehemu yoyote kwenye mkusanyiko wa watu mambo huwa hayafanani siku zote.