Wakuu naomba niwaage humu Jf nimepashindwa kwa kweli

Mtoa mada haya sasa ulitaka comments umepata mijicomment 300+ bado una mpango wa kuondoka?
 
Makosa
=> auna
=> ausifii
Sasa mkuu walio pata likes na comments nyingi umegundua wemepata bonus kupitia hizo comments ? Mpaka unaamua kuandamana

Kama unasepa sepa kimya kimya kama ulivo jiunga humu JF bila kumtaarifu mtu
 
Pole sana...

Kaza moyo, usisuse, humkomoi mtu ukiondoka... Punguza wivu...

Wavumilie, ipo siku watakutambua wewe nani...


Cc: mahondaw
 
KAma dunia ndo inamagreat thinkers kama wa humu JF bas dunia imeishiwa na hamna grtthinker hata mmoja duniani
 
Hila wote mliotoa comments zenu mungu awabariki sana, tatizo nilikuwa najiuliza humu Jf na mimi nitoke vipi kama wanacyotoka wenzangu humu Jf.
 
Hahaha dah..

Pole boss...sehemu yoyote kwenye mkusanyiko wa watu mambo huwa hayafanani siku zote.
 
Kama shida yako ni likes na reply nenda kwa makapuku. kule hata ukiweka nukta unakula likes 10. Kuna raia kule wana mwaka au miaka miwili tu lakini kwa kwa points and trophies wanawafukuzia wakina Mshana jr wenye miaka dahali hapa na nguvu za ziada.
 
Mkuuuuu safarii njemaa tunakutakiaa safari njema huko uendako mkuu mimi sitoki ng'ooo labda nifukuzweee hakuna media napenda kama humu ndaniii utakosaa vitu vizurii kwa pple of greatthinker

Baba jeska naye yumo humuuu aakuona ujue na atafurahiii
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…