Bongo wengi hatuna uwezo wakununua gari mpya na nzima tuna mikweche tu. Mfano IST mpya inafika hadi usd15000 bila kodi... 😀Unanunua mikweche
Gari ni ya rafiki yangu naijus, ilikuwa hivi, nsichukua kwa M3nbanunua engine ya kuagiza kwa 2ml ya hiace diesel ama petrol naweks, gari inatembea sema ilikaa garage miaka karibu 2 sababu hamaa ana crossroad mpyaKama Ina engine ya diesel ya 4M40 chukua mafundi,spea ni rahisi kupata hata ikiwa imekaa muda itaamshwa haraka. Inaingiliana na Mitsubishi Rosa na Canter, hiyo Pajero ya diesel pembeni utakuta imeandikwa 2.8 Turbo Intercooler.
Kama ni petrol au diesel injini nyingine usichukue kama imekufa suala la kuweka injini nyingine litakugharimu pesa ndefu. Kama umependa gari kubwa hapo inabidi uwe na ujuzi wa magari ili uwe na subira mpaka itakapotulia.
Ndo engine iliomo ila inasimbuaKama Ina engine ya diesel ya 4M40 chukua mafundi,spea ni rahisi kupata hata ikiwa imekaa muda itaamshwa haraka. Inaingiliana na Mitsubishi Rosa na Canter, hiyo Pajero ya diesel pembeni utakuta imeandikwa 2.8 Turbo Intercooler.
Kama ni petrol au diesel injini nyingine usichukue kama imekufa suala la kuweka injini nyingine litakugharimu pesa ndefu. Kama umependa gari kubwa hapo inabidi uwe na ujuzi wa magari ili uwe na subira mpaka itakapotulia.
Elewa ulichoambiwa,ina engine ya 4M40?Gari ni ya rafiki yangu naijus, ilikuwa hivi, nsichukua kwa M3nbanunua engine ya kuagiza kwa 2ml ya hiace diesel ama petrol naweks, gari inatembea sema ilikaa garage miaka karibu 2 sababu hamaa ana crossroad mpya
Kama inatembea upeleke gereji wakague kila kitu kuanzia body,diff,gear box,ball joint,shock up mpaka injini ili ukianza kutumia isilete breakdown yoyote.Gari ni ya rafiki yangu naijus, ilikuwa hivi, nsichukua kwa M3nbanunua engine ya kuagiza kwa 2ml ya hiace diesel ama petrol naweks, gari inatembea sema ilikaa garage miaka karibu 2 sababu hamaa ana crossroad mpya