Linguistic
JF-Expert Member
- Mar 16, 2021
- 3,669
- 8,268
FafanuaAtacheza Yanga Vs Simba Ngao ya Jamii
Msimu uliopita Simba alichukua FA na Ligi.... Usiulize tena maswali ya kipuuziHivi ikitokea Yanga anamfunga Coastal Union FC kwenye fainali ya kombe la shirikisho Tanzania bara -ASFC,na huku tayari akiwa Bingwa wa NBC premier league.
.
Na kwakua mechi ya Ngano ya hisani inakutanisha Bingwa wa Premier league na Bingwa wa Shirikisho.
.
Je,Yanga itabdi ishindanishe kikosi A vs Kikosi B?
.
Au mwongozo unasemaje?
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Bongo kanuni zinabadilishwa kila msimu mkuu,Acha uzuzu kwani Simba alipokuwa anachukua alikuwa anacheza na nani
Hivi ikitokea Yanga anamfunga Coastal Union FC kwenye fainali ya kombe la shirikisho Tanzania bara -ASFC,na huku tayari akiwa Bingwa wa NBC premier league.
.
Na kwakua mechi ya Ngano ya hisani inakutanisha Bingwa wa Premier league na Bingwa wa Shirikisho.
.
Je,Yanga itabdi ishindanishe kikosi A vs Kikosi B?
.
Au mwongozo unasemaje?
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Thread closed..✍️Ngao ya jamii inachezwa kati ya mshindi wa kombe la shirikisho vs mshindi wa ligi kuu. Hivyo ikitokea yanga kachukua makombe yote, basi kwenye ngao ya jamiu atacheza tena na Coastal union kwavile ndiye aliyecheza nae fainali.
Daaah Shida ya Hii forum wajuaje Wengi. Mm nimeuliza swali,ningejibiwa Tu na sio kuanza kutukanwa
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
swali la kijinga ujibiwe nini??? kawauliza wanao kama unao kama huna muulize mdogo wako atakujibu maana yeye anaweza akawa na akili kuliko weweDaaah Shida ya Hii forum wajuaje Wengi. Mm nimeuliza swali,ningejibiwa Tu na sio kuanza kutukanwa
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Msimu uliopita Simba alicheza na nani fainali ya FA?Msimu wa mwaka juzi ilikuwa bingwa wa ligi(ambaye pia ni mshindi wa FA kwenye ngso ya jamii anacheza na aliyeshika nafasi ya pili kwenye FA(Rejes simba vs namungo). But kwa msimu wa mwaka jana walibadiloshs ambapo bingwa wa ligi anacheza na aliyeshika nafssi ya pili kwenye msimamo wa ligi ikiwa bingwa huyo atakuwa pia kachukua FA(rejea simba vs yanga). Hivyo mpaka sasa ni wazi kuwa yanga na simba watakutana tena kwenye ngao kama ikitokea yanga kuchukua na FA