Wakuu naombeni Jambo Hili Kikanuni

Msimu uliopita Simba alicheza na nani fainali ya FA?
Hapa, bado majibu yanachanganya. Kuna majibu mawili.
1: Simba alicheza na Yanga, kwa sababu Yanga alishika nafasi ya pili kwenye ligi kuu.
2: Simba alicheza na Yanga, kwa sababu Yanga alishika nafasi ya pili kwenye FA.
Sasa, jibu sahihi bado halijajulikana. Aliyeuliza swali, yupo sahihi. Wengi hawajui jibu sahihi, ingawa mwisho wa swali lake, aliweka utani!
 
Kanuni ilifanyiwa marekebisho, ikitokea Yanga amechukua F.A. Basi ngao ya jamii itamkutanisha Yanga vs mshindi wa pili ligi kuu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…