Huo mkopo unao huitaji ,fanya ya fuatayo ''kaa na muajiri wako afanye unavyo taka, lakini pia kuna mashirika ya ki bank, ni vyema unge jitupia huko. Yawezekana ukaibuka na kitu cha kukusaidia, ila pia faham mikopo mara nyingi ni Bom la maangamizi pia unapaswa kulitambua hilo mapema,,