Wakuu naombeni msaada wenu tafadhali

kibol..

Umri wako ni upi na jinsia yako ni ipi?
Kikohozi chako ni cha namna gani, kikavu au kina makohozi?..kama kina makohozi ni ya rangi gani?yana harufu? unapata shida katika kulala usiku sababu ya kukohoa(yaani kuanka ukiwa unakohoa)?

-Je hutokwa na jasho usiku hasa baada ya homa? mf. kulowa kwa mashuka/nguo za kulalia?
-Je wajisika kama kupungua /kulegea kwa nguo zako?
-Ulikwisha wapi kuwa na mtu (kuishi na mtu aliye na tatizo la kukohoa kwa muda mrefu)?
 
Last edited by a moderator:
pole sana, jaribu kucheki UTI na TYPHOID.


Kama alivyosema Nsalu pamoja na mengine ya kunywa maji,kucheck typhoid nk........nasisitiza angalia UTI dalili zako zinanishawishi hivo na uitibu ipasavyo
 
achana na madawa ya kienyeji ni poisonous. Kama unapata homa bado sema
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…