IbrahimTechNerd
Member
- Aug 4, 2021
- 60
- 54
Unatakiwa uje na lisiti ya simu yako, hizi kazi zina sheria zake mkuu, sio kiholela holela tu.Duh kwa hyo nikiwa na simu ambayo CYO yangu nikikupa unatoa loku
Wew Ni hatari simu za wiz unazipga
Imagine nneichapa huko chocho af nakuja na ofa ya 10000. Sheria ipo au haipo[emoji23]Unatakiwa uje na lisiti ya simu yako, hizi kazi zina sheria zake mkuu, sio kiholela holela tu.
Bruh jamaa yangu amewai nusurika kwenda jela kwa ku flash simu kwa sh 15000/= .. akalipia laki na nusu kama faini.. inshort bila uthibitisho hamna kazi hapo ndugu.Imagine nneichapa huko chocho af nakuja na ofa ya 10000. Sheria ipo au haipo[emoji23]
[emoji120][emoji120]Kila la kheri
Nipo confident na mark up languages tu html na css lakini js naweza kidogo sana. Lakin Kwa technology ilivyokua kwa sasa naweza build a website nikipewa muda wa kutosha.