olle bergdahl
Member
- Jul 4, 2017
- 31
- 25
Nina umri wa miaka 23.
Kazi yangu mfugaji nipo Bariadi.
Elimu yangu darasa la saba..lakini sitofautiani na mwenye PHD.
Dini yangu mkristo.
Kijana mrefu mweusi kiasi.
Kabila langu msukuma wa shinyanga vijijini..
Sifa za mchumba nataka msichana awe mweupe mzuri, umri kuanzia miaka 19-25. Sichagui dini yake ila awe tayari kuolewa ndoa ya kimila, awe anaishi ndani ya Tanzania.
Asiwe amezaa au aliewahi kuolewa.
Awe mrefu kiasi na at least awe amemaliza hata form 4 na kuendelea.
Sifa nyingine mni-PM.
Nawasilisha kwenu wakuu.
Kazi yangu mfugaji nipo Bariadi.
Elimu yangu darasa la saba..lakini sitofautiani na mwenye PHD.
Dini yangu mkristo.
Kijana mrefu mweusi kiasi.
Kabila langu msukuma wa shinyanga vijijini..
Sifa za mchumba nataka msichana awe mweupe mzuri, umri kuanzia miaka 19-25. Sichagui dini yake ila awe tayari kuolewa ndoa ya kimila, awe anaishi ndani ya Tanzania.
Asiwe amezaa au aliewahi kuolewa.
Awe mrefu kiasi na at least awe amemaliza hata form 4 na kuendelea.
Sifa nyingine mni-PM.
Nawasilisha kwenu wakuu.