olle bergdahl
Member
- Jul 4, 2017
- 31
- 25
Duu mfagia zizi utampata humu? Acha wajeNina umri wa miaka 23.
Kazi yangu mfugaji nipo Bariadi.
Elimu yangu darasa la saba..lakini sitofautiani na mwenye PHD.
Dini yangu mkristo.
Kijana mrefu mweusi kiasi.
Kabila langu msukuma wa shinyanga vijijini..
Sifa za mchumba nataka msichana awe mweupe mzuri, umri kuanzia miaka 19-25. Sichagui dini yake ila awe tayari kuolewa ndoa ya kimila, awe anaishi ndani ya Tanzania.
Asiwe amezaa au aliewahi kuolewa.
Awe mrefu kiasi na at least awe amemaliza hata form 4 na kuendelea.
Sifa nyingine mni-PM.
Nawasilisha kwenu wakuu.
hahaha all the best mkuu....... ila kutafuta mwanamke wa level hizo jf utasubiri sana...... ni mtazamo wanguNina umri wa miaka 23.
Kazi yangu mfugaji nipo Bariadi.
Elimu yangu darasa la saba..lakini sitofautiani na mwenye PHD.
Dini yangu mkristo.
Kijana mrefu mweusi kiasi.
Kabila langu msukuma wa shinyanga vijijini..
Sifa za mchumba nataka msichana awe mweupe mzuri, umri kuanzia miaka 19-25. Sichagui dini yake ila awe tayari kuolewa ndoa ya kimila, awe anaishi ndani ya Tanzania.
Asiwe amezaa au aliewahi kuolewa.
Awe mrefu kiasi na at least awe amemaliza hata form 4 na kuendelea.
Sifa nyingine mni-PM.
Nawasilisha kwenu wakuu.
arooo mkuruu utakuwa wa maraaaUna akiri sana kwenye tangazo lako nimekuelewa unacho maanisha kwenye sifa zako
kila la kheri wanakuja wahitaji.
haswa mm mkurya originalarooo mkuruu utakuwa wa maraaa
wewe umeishia la 7 ,unamtaka wa form 4, duh...una mashartiNina umri wa miaka 23.
Kazi yangu mfugaji nipo Bariadi.
Elimu yangu darasa la saba..lakini sitofautiani na mwenye PHD.
Dini yangu mkristo.
Kijana mrefu mweusi kiasi.
Kabila langu msukuma wa shinyanga vijijini..
Sifa za mchumba nataka msichana awe mweupe mzuri, umri kuanzia miaka 19-25. Sichagui dini yake ila awe tayari kuolewa ndoa ya kimila, awe anaishi ndani ya Tanzania.
Asiwe amezaa au aliewahi kuolewa.
Awe mrefu kiasi na at least awe amemaliza hata form 4 na kuendelea.
Sifa nyingine mni-PM.
Nawasilisha kwenu wakuu.