Wakuu nataka Nijazie Fasta Kuanzia Kigimbi, Six packs na Mikono Supplement gani nzuri?

Itakapotokea topic ya Kujazia hela mni-tag please
 
Kwanza pole sana, kwa minyoo sugu!! si unaona nilivo jazia hapo juu!! ajili ya kukimbia sasa weye unaacha? fanya hivi;

Meza dawa za Minyoo, dose tatu kwa mda wa week tatu! achana na chips mayai! baada ya hapo gonga kiti moto roast, nguna /,ndizimshale guiness ze power! wastani wa kilo mbili kila baada ya siku moja nzuri iko paleeee Migombani kisukuru kwa Mangi,

karibu na Police post, au msimbazi centre, mbona utajikimbia! kila upitapo watu jicho hilo! jamani njooni muone Baunsa yulee!! utajulikana sana! na utajaribiwa bure sana, mie mwenzako nina pesa naonekana kwa nadra sana,

kaka jambazi akiniotea anajinyea kwanza, ''shikamoo kaka, tusamehe kaka tulikuwa tunapitakaka tuuuu!'' mke wangu ndo haguswi kabisaaa, km anaguswa basi kwa siri sana, lkn pia mie ni mchawi!
 
Mathayo 6:33 Bali utafuteni kwanza ufalme wake, na haki yake; na hayo yote mtazidishiwa. Mathayo 6:34 Basi msisumbukie ya kesho; kwa kuwa kesho itajisumbukia yenyewe. Yatosha kwa siku maovu yake.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…