Wakuu natarajia mwaka huu usiishe nikiwa nimeoa kabisa na Kutulia nampenda sana huyu Binti

Wakuu natarajia mwaka huu usiishe nikiwa nimeoa kabisa na Kutulia nampenda sana huyu Binti

uhurumoja

JF-Expert Member
Joined
Mar 2, 2014
Posts
9,616
Reaction score
22,521
Wakuu natarajia mwaka huu usiishe nikiwa nimeoa kabisa na Kutulia nampenda sana huyu Binti mwenye mawasiliano nae tafadhari nitafurahi sana
Ni presenter pale Azam
IMG_20231002_112122_099.jpg
IMG_20231002_112132_448.jpg
IMG_20231002_112350_866.jpg
 
sasa mkuu,
uwe unaenda kusali basi, lakini pia kushiriki warsha, semina na makongamano mbalimbali ya vijana huko ni unawaona na kuzungumza nao live kabisa sio kwenye TV
Yah nataka kuanzisha huu utaratibu mapema iwezekenavyo
 
Back
Top Bottom