Shooter Again
JF-Expert Member
- Sep 6, 2022
- 5,603
- 9,263
Wakuu kama kichwa Cha habari kinavyosema ni sahihi kujenga juu ya beacon ya halmashauribiliyowekwa Kwa ajili ya barabara ya mtaa maana Kuna jirani yangu anajenga hivi maana naona kama anatafuta ugomvi na serikali.