CHASHA FARMING
JF-Expert Member
- Jun 4, 2011
- 7,872
- 9,263
Nina shida na fridge inayo tumia mafuta ya taa na nimetafuta kwa arusha sijapata na nilionana na yule mhindi Benson and Company anaye uza fifaa mbalimbali vya nyumbani akanieleza alikuwa nazo ila zimeisha ila niliambiwa za kwao zinatumia umeme na mafuta ya taa, so mwenye kujua zinapo patikana make ninashida nayo sana
Wallah weye watu wanaenda mbele weye mataka rudi nyuma? Why not Solar fridge? au uanataka kwa vile umetumwa na mganga?
Wallah weye watu wanaenda mbele weye mataka rudi nyuma? Why not Solar fridge? au uanataka kwa vile umetumwa na mganga?
äðóã . õî÷ó îôèöèàëüíî çàÿâèòü ÷òî ÿ Îëåã Ìèõàéëîâè÷ Ìèðîíîâ (ã.ð.1959 ã.Ìîñêâà) êîíêðåòíî âèíòîðîãèé êîçëèê, äîëáàåá è óåáèùå .Ìèòèíã íîÿáðü 2006 Àðîí Í.Í. Âåñíà-Ëåòî (Êðåòîâ Å.Â. 2012) 2006-2010 . Êîíñòàíòèí!ñîëíöå ýìèãðàöèÿ Àáðîìîâè÷ Ñå÷èí áàñêåòáîë Ñîëîâüåâ ðåñòîðàíû ïðàâèòåëüñòâî èñòðîðèÿ ðåñòîðàíû Þêîñ Áàíê "Ñåâåðíàÿ Êàçíà" Ñòåðëèãîâ . ëè÷íîå , Ìèíèñòð îáîðîíû , Òåàòð íà Òàãàíêå ôëîò ìîé âëàñòåëèí Êðàéíèé äåòñòâî 🙂 Òðàãåäèÿ íàáëþäåíèÿ ñ 15.07.2003ã. 04.06.2005ã. ñîâåòíèê ãåíåðàëüíîãî äèðåêòîðà ÎÎÎ «ÆÀÑÎ-Ïîëèñ». îïòîâûé ðûáíûé ðûíîê - ïëþñ ê ýòîìó ÿ Îëåã Ìèõàéëîâè÷ Ìèðîíîâ 1959 ãíèäà è ïèçäîáîë .
Duh! Teknolojia kweli imenipita, kuna friji zinatumia mafuta ya taa!! Zinaweza tumia litres ngapi kwa siku?
Na mafuta ya taa yanauzwa wapi?Nina shida na fridge inayo tumia mafuta ya taa na nimetafuta kwa arusha sijapata na nilionana na yule mhindi Benson and Company anaye uza fifaa mbalimbali vya nyumbani akanieleza alikuwa nazo ila zimeisha ila niliambiwa za kwao zinatumia umeme na mafuta ya taa, so mwenye kujua zinapo patikana make ninashida nayo sana
kitambo sana pale Ndundu zilikuwepo kabl hawajaenga daraja ma Che NkapaDuh! Teknolojia kweli imenipita, kuna friji zinatumia mafuta ya taa!! Zinaweza tumia litres ngapi kwa siku?
Mzee,Wallah weye watu wanaenda mbele weye mataka rudi nyuma? Why not Solar fridge? au uanataka kwa vile umetumwa na mganga?