Wakuu Nimeipenda hii gari Toyota Collora Fielder

Wakuu Nimeipenda hii gari Toyota Collora Fielder

Ngumu kumeza

JF-Expert Member
Joined
Jun 19, 2012
Posts
577
Reaction score
354
Wakuu Heshima Kwenu,

Naomba kufahamishwa kidogo kuhusu hii gari,kwa upande wangu naona ni gari nzuri kwa muonekano ni ndoto zangu kuja kumiliki hii gari, maana naona haizungumzwi sana katika hili jukwaa.

Naomba kufahamishwa machache kuhusu hii gari:

- Changamoto zake
- Ulaji wake mafuta
- Upatikanaji wa vipuri
- Na mengineyo

Naomba kuwasilisha.

02(1).jpg
05(1).jpg
04.jpg
06.jpg
12(1).jpg
16.jpg
19.jpg
23.jpg
27.jpg
 
Hakuna haja ya kujiuliza mara2 hiyo gari iko poa kuanzia body yake, mashine na gear box, pia Corolla Fielder inatumia engine ya 1NZ ni engine zinazohimili Sana pia hiyo gari inafanana na pro box succeed.

Fasta Sana Fanya maamuzi wala haina haja ya kutafuta gari tofauti na hiyo
 
Back
Top Bottom