Ngumu kumeza
JF-Expert Member
- Jun 19, 2012
- 577
- 354
Wakuu Heshima Kwenu,
Naomba kufahamishwa kidogo kuhusu hii gari,kwa upande wangu naona ni gari nzuri kwa muonekano ni ndoto zangu kuja kumiliki hii gari, maana naona haizungumzwi sana katika hili jukwaa.
Naomba kufahamishwa machache kuhusu hii gari:
- Changamoto zake
- Ulaji wake mafuta
- Upatikanaji wa vipuri
- Na mengineyo
Naomba kuwasilisha.
Naomba kufahamishwa kidogo kuhusu hii gari,kwa upande wangu naona ni gari nzuri kwa muonekano ni ndoto zangu kuja kumiliki hii gari, maana naona haizungumzwi sana katika hili jukwaa.
Naomba kufahamishwa machache kuhusu hii gari:
- Changamoto zake
- Ulaji wake mafuta
- Upatikanaji wa vipuri
- Na mengineyo
Naomba kuwasilisha.