Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tayari mkuu ngoma nshachek niko safeMkuu cha kwanzq kabisa nakushauri ukapime ngoma a.k.a ukimwi....huu ni ushauri wa kitaalamu kabisa maana sio kawaida kwa mtu ambaye ni immunocompitent kupata fungus mdomoni...
Pia ukirefer nyuzi zako za nje unaonesha immunity yako imeyumba...
Fanya upime ngoma ili utibu tatizo zima na sio hizo fungal tu
Karibu inbox tulonge mkuuHabari wakubwa asee marakwanza kwenda chumvini sasa juzi nimeangalia kwenye kinywa changu nimeogopa mno asee sijui nshapata wadudu naombeni dawa kwa wazoefu wa hizi kazi View attachment 801568
Hospital nlienda kaka daktari akaniambia kwamba Hawa sio fungus ni kitu kinaitwa geographic tongue ila mm nimekuwa na wasiwasi sana baada ya kukutana na huyo binti kama mienz mitatu iliyopitaPOLE sana mzee... wapo RAIA humu.. wanajifanya " ULIKUWA UNATAFUTA NINI HUKO " Wakati wao ndio wale wale... nenda hospital mapema.. sas sijui utaanzaje kumwambia DAKTARI.. hehehe pole sana kaka... mungu yupo atashusha baraka zake