Pole sana chief, ila kwa tahadhari muda mwingine usimeze dawa hivyo tena, sio njia nzuri kumeza dawa halafu uweke maji, dawa ya paswa ianze kuyeyukia mdomoni pamoja na dawa nyingine kuwa chungu ila ndiyo kautaratibu safi na ndiyo njia sahihi, weka dawa kwenye ulimi tafuta maji meza tena maji yasiwe yabaridi,Wiki kama moja niliomba msaada kuhusu ugonjwa nashukuru mlinipa ushauri na niliutendea kazi vizuri sana kwani nilienda hospitali nikapewa dawa nikaanza kutumia nashukuru Mungu nilipona ila wakati imebaki siku mbili nimalize dawa nilipatwa na tatizo jingine ili kuwa majira ya jioni nameza dawa uwa natabia ya kutanguliza dawa kumeza ndiyo nifuate maji wakati nimeza dawa niliisi kama imekwama kwenye kifua nilikunywa maji mengi sasa toka siku hiyo nikimeza chochote napata maumivu makali sana naombe itakuwa natatizo nn kwasababu inanitesa sana siwezi kula chochote kwani naumwa sana msaada tafadhali
Pole mkuu kwa tatizo la mzee nimeenda leo awajanipima nimetoa maelezo wamenipa dawaMkuu ninakushauri rudi hospital ukafanyiwe vipimo tena ndani ya njia ya chakula kuna majanga sana.
My father alikula nyama akahisi kama imenasa kwenye kifua so akawa anatembea hivyo hivyo akila anapata shida ya kumeza chakula .
Mwisho tukaona mwili wake akama unapungua sana kumbe sometimes alikuwa anakaa na njaa kwa kuhofia yale mamumivu ya kwenye kifua kwa ndani.
Tulipoenda hospital walipomfanyia vipimo ikagundilika ni kansa na ile kuhisi kwamba nyama imenasa pale pale kumbe ni uvumbe tu uliotokana na hiyo kansa.
So please nenda hospital ili uepuke madhara yatakayokuja mbele huko huenda ikawa siyo hilo tatuzi kama la mzee wangu ila ni bora zaidi kuwahi hospital.
Asante mkuu sawaPole sana chief, ila kwa tahadhari muda mwingine usimeze dawa hivyo tena, sio njia nzuri kumeza dawa halafu uweke maji, dawa ya paswa ianze kuyeyukia mdomoni pamoja na dawa nyingine kuwa chungu ila ndiyo kautaratibu safi na ndiyo njia sahihi, weka dawa kwenye ulimi tafuta maji meza tena maji yasiwe yabaridi,
safi kama umepata huduma ugua pole mkuuMkuu nimerudi leo wamenipa dawa ya kutumia
Nazan mkuu kwa kesi km hiyo best option n kwend ospito waelezee tatzo lako naamin ni tqtzo dgo litaisha tuukidogo kimeshatoka nadhani kama kiliganda kikaleta kidonda ndani