Wakuu nina tatizo la meno ya mbele yananisumbua

Wakuu nina tatizo la meno ya mbele yananisumbua

godfrey_avya

Senior Member
Joined
Feb 25, 2014
Posts
131
Reaction score
24
wakuu kipindi kilichopita meno yangu ya mbele yalikuwa na weusi flani ivi pembezoni mwa jino la kwanza na lapili,ikabidi nizibe hospitali basi nikamua kuziba sasa kila yakibomoka naziba yapata mara ya tatu sasa na yamefikawmwisho.
naomba ushauri wenu wakuu nifanyeje?
 
Back
Top Bottom