Mohamedex121
JF-Expert Member
- Jan 27, 2022
- 1,725
- 3,271
Hiyo 100m iwe kwenye mauzo ya biashara. Mshahara nimekubaliano baina ya mwajiri na mwajiriwaMalipo ya 100M per day?
Hayo ni mauzo ya kwenye biashara100m per day unamaanisha nini??
Kujiajiri ndio mpango mzima.
[emoji38][emoji38] mbona umemaliza kikuu sanaUkitaka uandike 10k per dat ukachapia au umedhamiria kusema 100m per day?
Anyways kuna jela na kuna guest (lodge)
Nimerekebisha mkuu hapo kwenye uzi wangu nilikuwa nasema biashara iwe na mauzo atleast 100m per day. Kuhusu mshahara ni makubaliano mkuuUkitaka uandike 10k per dat ukachapia au umedhamiria kusema 100m per day?
Anyways kuna jela na kuna guest (lodge)
[emoji848]Hayo ni mauzo ya kwenye biashara
Biashara yangu inakaribia kufa nakosa wateja ndio maana nimeomba niajiriwesi ulisema we ni mfanyabiashara??
Huko jela na lodge huwa kuna ishu gani?? Na wanajiri kwa kazi zipi fafanua mkuuUkitaka uandike 10k per dat ukachapia au umedhamiria kusema 100m per day?
Anyways kuna jela na kuna guest (lodge)
Ukipata ujustue kaka mwanao hapaNaenda bandarini kwa mchongo kabla hawajapitisha mkataba.
Haki nimecheka 🤣🤣🤣🤣🤣unaweza kuua mtu?
Mshahara ni makubaliano mkuu kuhusu huo 100m hiyo ni mauzo ya kwenye biashara ya tajiri anayetaka kuniajiri maana ninao ujuzi ya kumanage business100m per day[emoji2],, anyway unakitu utafika mbali[emoji18]
Sawa,, kila la kheri 😊🙌Mshahara ni makubaliano mkuu kuhusu huo 100m hiyo ni mauzo ya kwenye biashara ya tajiri anayetaka kuniajiri maana ninao ujuzi ya kumanage business