Ironbutterfly
JF-Expert Member
- Feb 5, 2023
- 3,042
- 8,227
Huko jela na lodge huwa kuna ishu gani?? Na wanajiri kwa kazi zipi fafanua mkuu
Hahaha [emoji23] uyo chali ni msahulifu kinoma.... pitia thread zake za nyumasi ulisema we ni mfanyabiashara??
Nimeshajiajiri mkuu but now nakaribia kufilisika baada ya wateja kupungua ndio maana nimeomba niajiriwe. Kuhusu wizi mimi sijafundishwa kuiba Aisee mimi ni mwislamu swala tano[emoji1787][emoji1787]dogo we jiajiri tu, serikalin hakuna michongo ya 100 m per day,labda uwe mwizi,na ukiwa mwizi dakika sifuri tunakudaba [emoji1787][emoji1787]
Hapana mkuuunaweza kuua mtu?
Ndio mkuu swala la kuchinja niliweza vyema nipange sasa mkuuDogo unaweza kuwa ngamia?
Una ujuzi wa kumanage business lakini hapo juu umekiri kuwa biashara yako imekushinda !!!Mshahara ni makubaliano mkuu kuhusu huo 100m hiyo ni mauzo ya kwenye biashara ya tajiri anayetaka kuniajiri maana ninao ujuzi ya kumanage business
Izo bangi na unga tunazifanyia vipi mkuu fafanua dili ilobangi na unga
[emoji23][emoji23]hapana kwakweli nashukuru kwa mawazo yenu[emoji1787][emoji1787][emoji1787]anamaanisha uwe mwizi tukupeleke jela,au uamue kuuza ndogo , location inakuwa guest(lodge)[emoji1787]it's up to you.
Shida ya biashara yangu ni kukosa wateja sijajua ni kwasababu ya competition au ni ushirikina nashindwa kuelewaUna ujuzi wa kumanage business lakini hapo juu umekiri kuwa biashara yako imekushinda !!!
Jitahidi ujue unakosea wapi ili biashara yako isije kufa, kujiajili ndo kila kitu lakini ukitaka kuajiriwa utachelewa mkuu ..Biashara yangu inakaribia kufa nakosa wateja ndio maana nimeomba niajiriwe
Sasa huo ujuzi wako wa kumanage business upo kwenye angle ipi ikiwa umeshindwa kuongeza customers??Shida ya biashara yangu ni kukosa wateja sijajua ni kwasababu ya competition au ni ushirikina nashindwa kuelewa
Atakua mwizi msomi 😂🤣🤣dogo we jiajiri tu, serikalin hakuna michongo ya 100 m per day,labda uwe mwizi,na ukiwa mwizi dakika sifuri tunakudaba 🤣🤣
Mkuu kuna nguvu za giza fikiria na hilo pia. Maana hapa ninapofanyia biashara nimezungukwa na watu wenye wivu na kupenda kuiga iga biashara za watuSasa huo ujuzi wako wa kumanage business upo kwenye angle ipi ikiwa umeshindwa kuongeza customers??
hela ndefu labda uibe, ila hiyo elimu yako kihalali huwezi pata hela ndefuWakuu poleni na majukumu! Ni mimi kijana wenu humu jamiiforums, kama mnavyojua now baadhi ya vijana kama mimi ndio tumemaliza chuo tumerudi mtaani japo harakati huku mtaani hazisomeki.
Bila kupoteza muda wakuu nisaidieni kuniunganisha na michongo yoyote ile ilimradi iwe ya pesa ndefu kama ni ajira wakuu nitashukuru sana maana nina diploma ya Accounting and finance na bado nasubiria cheti changu cha degree mwezi wa 12 mwaka huu
Pia kama kuna biashara za pesa ndefu wakuu mnaweza kuniajiri kama Accountant officer pia ninao uzoefu wa marketing and sales kikubwa biashara iwe na mauzo atleast 100m per a day
#Natanguliza_shukran_wakuu
😀😀😀aiseeeeNimerekebisha mkuu hapo kwenye uzi wangu nilikuwa nasema biashara iwe na mauzo atleast 100m per day. Kuhusu mshahara ni makubaliano mkuu
😀😀😀😀Mkuu kuna nguvu za giza fikiria na hilo pia. Maana hapa ninapofanyia biashara nimezungukwa na watu wenye wivu na kupenda kuiga iga biashara za watu
Tafuta shamba huko ndani ndani kalime bangi utatoboa maana hata hazihtaji dawa za wadudu, maana kila mchongo wa pesa ndefu watu washaushika na wanapeana conection kwa kujuana na kuaminiana c kujuana mtandaonLeteni michongo hiyo wakuu bado nayasikiliza mawazo yenu