Its Pancho
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 15,966
- 26,404
Wakuu,
Kambwa hako nimepewa na ndugu yangu mmoja anao wengi sana, halafu bado Kana afya nzuri sana.
Naomba mnipe ushauri jinsi ya kumtunza vizuri kuanzia chakula gani ale jamaa aliniambia huwa bado kadogo kanakunywa maziwa tu.
Hivyo siku ya pili hii nakaptia maziwa.
Nataka akue vizuri na kubaki na afya yake hivyo hivyo. Na bao langu(mtoto wangu) anapenda sana ndo maana nikamleta. Banda tayari lipo kubwa.
Je, matunzo, ale chakula gani? ,dawa?
Nifanyeje ili asiwe mzembe?
Kambwa hako nimepewa na ndugu yangu mmoja anao wengi sana, halafu bado Kana afya nzuri sana.
Naomba mnipe ushauri jinsi ya kumtunza vizuri kuanzia chakula gani ale jamaa aliniambia huwa bado kadogo kanakunywa maziwa tu.
Hivyo siku ya pili hii nakaptia maziwa.
Nataka akue vizuri na kubaki na afya yake hivyo hivyo. Na bao langu(mtoto wangu) anapenda sana ndo maana nikamleta. Banda tayari lipo kubwa.
Je, matunzo, ale chakula gani? ,dawa?
Nifanyeje ili asiwe mzembe?