muhomakilo jr
JF-Expert Member
- Jul 28, 2013
- 15,301
- 13,858
Mimi ntakufundisha mambo yetu yalee, halafu kama una pesa niambie nikupeleke bar yenye mademu
karibu kijana. Umejiunga tarehe 28 July leo ndo umeamua kunena nasi?
Baass saaaaawaaaaaaaaaaaa....
Karibu mgeni. Jisikie upo ugenini kabisaaaaaaaaaaaaa.
Hapa sio kwenu.
Karibu karibu karibu. Bujibuji atakupa juisi ya miwa, MziziMkavu atakupa maji ya moto ya kunywa ambayo yanatibu takribani magonjwa 27, gfsonwin atakusaidia kupunguza munkari, lara 1 atakupa kitchen party haswaaaa, Baba V ana hekima ingawa hana elimu kwa hiyo usijali, King Kong III atakusaidia usionewe na vijamaa vya humu ndani, King'asti atasaidia hapa na pale, MadameX nae na mwenzie Heaven on earth watakava palipo pungua kukufanya uendelee kucheka na kufurahia, Mtambuzi atakusaidia vema kujua saikolojia ya mahusiano.
Karibu Karibu
hekimatele, nimeishiwa juice ya miwa, nimebakiwa na juice ya vitunguu swaumu tu, ambayo mama Terry anasema tuinywe kwa wingi ili kuifanya afya yetu iimarike
Yerewiiiiii....Duuh.. Sasa mgeni ukimpa juice ya vitunguu swaumu si mdomo utachacha?
Au unampa na jik ya kusukutulia?
karibu kijana. Umejiunga tarehe 28 July leo ndo umeamua kunena nasi?
Baass saaaaawaaaaaaaaaaaa....
Karibu mgeni. Jisikie upo ugenini kabisaaaaaaaaaaaaa.
Hapa sio kwenu.
Karibu karibu karibu. Bujibuji atakupa juisi ya miwa, MziziMkavu atakupa maji ya moto ya kunywa ambayo yanatibu takribani magonjwa 27, gfsonwin atakusaidia kupunguza munkari, lara 1 atakupa kitchen party haswaaaa, Baba V ana hekima ingawa hana elimu kwa hiyo usijali, King Kong III atakusaidia usionewe na vijamaa vya humu ndani, King'asti atasaidia hapa na pale, MadameX nae na mwenzie Heaven on earth watakava palipo pungua kukufanya uendelee kucheka na kufurahia, Mtambuzi atakusaidia vema kujua saikolojia ya mahusiano.
Karibu Karibu
mwambie mgeni akaribie na ndani apite
kimwana niko hapa namtengenezea juice ya ukwaju......
Aaah kimwana,mie na ukongwe wangu huu hujanialika hata kula kashata?
mwambie mgeni akaribie na ndani apite
kimwana niko hapa namtengenezea juice ya ukwaju......
angalia vizuri tafadhali. You are already taken wewe.
mi simooooooo
hahaaa nahisi kama nahitaji kiserengeti boy vile!!!!!
ndo maana nimemkaribisha kwa masham sham!!!!!!!
napita tuuuuu
Sitaki kuwa shahidi
hahaaa hekimatele sikuwezi,
natania tu mbona mzee wa do and donts akiiona hii
ananipa Ban la forever