Wakuu nisaidieni hili tatizo

Kizwili

Member
Joined
Feb 19, 2012
Posts
39
Reaction score
2
Jamani nina mtoto wangu ana three ya 24 .kisw C,eng C,Bios B,phy D, chem D,the rest ana D zote.kombi ya kwanza alijaza CBG .anaweza kuchaguliwa kombi gani
 
Jamani nina mtoto wangu ana three ya 24 .kisw C,eng C,Bios B,phy D, chem D,the rest ana D zote.kombi ya kwanza alijaza CBG .anaweza kuchaguliwa kombi gani

hapo hawezi kuchaguliwa mkuu kombi yoyote, hana crdt za kombi zimegoma. Jiandae kumtafutia Private school. N:B, km ni wa kike ataweza kuchaguliwa cz mwaka huu wamefeli sana.
 
Kwani cömb za sayansi wanachukua kuanzia point ngapi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…