Wakuu Nitampataje "Farhia Middle"

Acheni ufisi wa kutamani wake za watu,na mkiendelea na hizo tamaa kuliwa jicho kunawahusu,this is too much bhana!,uzinzi hauna faida kwako mkuu zaidi ya kukutia umaskini tu,au unadhani hizo alfu ishirini au thelasini unazotoa kwa ajiri ya wanawake ni chache,tumia kichwa chako cha juu kudhibiti tamaa ya kichwa chako cha chini....badilikeni nyie!
 
Hasira...
 
Wabongo wavivu kwa kutafuta wenyewe hata kama kitu wanakitaka. Anza na Facebook, Twitter na Instagram kwanza ukikosa huko tafuta namba ya ITV ipige halafu waambie una habari muhimu ya Farhia. Nauhakika utampata ukifanya hivyo, leta mrejesho ukifanikiwa kumpata au hata ukikataliwa.
 
Ni Mkeo?
 
Wakuu basi tu aisee, simhitaji tena

Nlitegemea atakuwa at least na chura japo kidg ila nlilotegemea halipo kabisa...kumbe ni sura tu ila ni Flat Screen haswaa.

Kuna jomba kanitumia picha zake 3 [emoji86]
weka picha tusiomjua pia tumhusudu

Njoo inbox nikupe pia ntakueleza pa kumpata
 
Wakuu basi tu aisee, simhitaji tena

Nlitegemea atakuwa at least na chura japo kidg ila nlilotegemea halipo kabisa...kumbe ni sura tu ila ni Flat Screen haswaa.

Kuna jomba kanitumia picha zake 3 [emoji86]
Sifa ya flat screen huwa watamu sana kitandani, kwasababu wenye makalio makubwa huwa na akili mgando. Wakishaona wana makalio makubwa hata kutingisika hawataki. Yaani wanaboa kinomaaaa[emoji35]

Sent from my SAMSUNG-SM-G900A using JamiiForums mobile app
 
Mkuu kuna styles zangu mbili adimu sana nazozipendaga huwa hazifai kupiga kwa flat screen.
 
Wakuu basi tu aisee, simhitaji tena

Nlitegemea atakuwa at least na chura japo kidg ila nlilotegemea halipo kabisa...kumbe ni sura tu ila ni Flat Screen haswaa.

Kuna jomba kanitumia picha zake 3 [emoji86]
Humjui Farhia wewe....
 
Kwao ni manyara baba yake ni msomali nimekuonjesha ubuyu kidogo
 
Humjui Farhia wewe....
Ni kweli simfahamu sana mkuu zaidi tu ya kumuona kwny picha tena haonekani vizuri

Mkuu unaweza nifahamisha yukoje zaidi coz kiukweli Nampenda.
 
Mkuu kuna styles zangu mbili adimu sana nazozipendaga huwa hazifai kupiga kwa flat screen.
Doggy style na kuchuma mboga?[emoji15]
Mkuu nishapata wenye makalio makubwa wengi tu, lakini wavivu hatari raha yao kuangalia makalio yanavyo bounce.[emoji39] lakini nishapata flat wengi pia uwiiiii[emoji39] [emoji22] mkuu nikitangaza ndoa mwenyewe 3 wao. Sema sisi wengine kunguru hatufugiki tu[emoji6] [emoji1] [emoji1]

Sent from my SAMSUNG-SM-G900A using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…