Wakuu Nitampataje "Farhia Middle"

Hama chadema kwanza,

Kwa tabia yenu ya kutetea mafisadi humpati ngo'ooo
 
MKUU umekosea kwani usimzanie mabaya inawekana ana nia nzuri kwani hata ndoa si uanzia kama hivi
 
Maneno ya mkosaji
Wakuu basi tu aisee, simhitaji tena

Nlitegemea atakuwa at least na chura japo kidg ila nlilotegemea halipo kabisa...kumbe ni sura tu ila ni Flat Screen haswaa.

Kuna jomba kanitumia picha zake 3 [emoji86]
 
Reactions: amu
Huyu mtoto akiingia line napeleka posa kwako fastaa.
 
Reactions: amu
Huyu mtoto akiingia line napeleka posa kwako fastaa.
 
MKUU umekosea kwani usimzanie mabaya inawekana ana nia nzuri kwani hata ndoa si uanzia kama hivi
Achana na huyo ameumia utafikiri farhina ni mkewe, au labda mke wake ni flat screen
 
[emoji276] hisia
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]
 
Kumbe bonge ahi....halafu hakuna rangi, hana jicho mbona hovyo kabisa bonge hana issue kabisa. Kumbe mkuu hujui hata kuchagua Demu loh pole sana hilo c furushi haligeuziki hata ktk movie
 
[emoji107]
Huyo demu aliwahi kupigana studio na demu mwenzake wakigombea mwanaume na mbaya zaidi walikuwa hewani live.. Ishu hiyo ilitokea enzi akiwa radio five!! Kiufupi ni mtata sana na ugomvi kwake ni kama vile kunawa maana ni mgomvi balaa!! Just imagine palepale studio akalianzisha!!

Jambo lingine ni mwingi wa chini mno. Ni very cheap na ndo maana hawezi kuwa na mahusiano yenye msimamo!! Ni mzuri wa sura ila ana umbo baya na kifuani ana mtindi unafikia hata kilo 65..Kwa hayo machache nimekudokezea
 
Wallah Mamaeee
Jf ni kama kijamvi fulani tu cha familia moja yani kila unachotaka unakipata with zero cost
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…