Kuna baadhi ya wakuu wa shule huko ndo kina Afisa elimu,Waziri wa Elimu n.k. Hivyo huwanyanyasa walimu kiasi kwamba wanaishi kwa shida. Je unadhani "big results now" itawezekana na ile hali mwalimu hana raha kituoni...? Naomba tutafakali.
Kuna baadhi ya wakuu wa shule huko ndo kina Afisa elimu,Waziri wa Elimu n.k. Hivyo huwanyanyasa walimu kiasi kwamba wanaishi kwa shida. Je unadhani "big results now" itawezekana na ile hali mwalimu hana raha kituoni...? Naomba tutafakali.