Wakuu tra washaita

Wakuu tra washaita

ʞontɹact Sniper;2411237 said:
Kama wameita si uende?
<br />
<br />
Ndo nimeuliza mkuu sio kwa lengo baya
 
Huyu anaejiita sniper anatumia Masaburi kufikiria na sio akili za kawaida! Sniper gani anakuwa mpuuzi namna hii???? Mtu kauliza ili apate kujua, kama una taarifa zozote si ni bora ukae kimya kuliko kuandika utumbo humu! Anyway, watu wanatofautiana!
 
Nafasi zilikuwa 5 applicants zaidi ya alfu 2....
 
Back
Top Bottom