Wana jf, kwanza nina masikitiko makubwa kwa vifo vya wanajeshi wetu waliouwawa Darfur. mimi napenda kueleweshwa kwa anayejua vizuri, ni mamlaka gani hutoa amri kwa jeshi letu kufanya operation mbalimbali?
Je ni mamlaka gani hutoa amri jeshi kwenda mtwara?
Je ni mamlaka gani hutoa amri jeshi kwenda Darfur?
Au ni mamlaka moja ndo hutoa hizo amri kwenda Mtwara, darfur au DRC? Kwa mtazamo wangu kama ni mamlaka moja ndo hutoa amri kwenda Mtwara na Darfur na DRC basi wanajeshi wetu wanaweza kuumizwa sana darfur Kuliko Mtwara.
Naomba Kuwakilisha.
Jibu zuriJeshi letu hushiriki shughuli za ulinzi wa amani pote duniani,na sio sudani tu,na pia lebanoni,kongo n.k.,kwa kuwa si ni wanacha wa umoja wa mataifa,kwa hiyo tukiombwa kupeleka wanajeshi basi tunapeleka kutokana na maombi na mahitaji.mtwara ni shughuli za amani za kawaida ndani ya nchi ambapo jwtz linaombwa kama msaada kwa jeshi la polisi amabalo hasa ndo shughuli yake.na kama jwtz ikienda maana yake hakuna kushindwa lazima amani irudi hata kwa kumwaga damu maana jwtz ndo mamlaka ya mwusho ya ulinzi hapa nchini.wakishindwa wao tukaombe msaada kenya ama uganda???,kwa hiyo jwtz wako pale kihalali kabisa.
Safari kweli ni ndefuWana jf, kwanza nina masikitiko makubwa kwa vifo vya wanajeshi wetu waliouwawa Darfur. mimi napenda kueleweshwa kwa anayejua vizuri, ni mamlaka gani hutoa amri kwa jeshi letu kufanya operation mbalimbali?
Je ni mamlaka gani hutoa amri jeshi kwenda mtwara?
Je ni mamlaka gani hutoa amri jeshi kwenda Darfur?
Au ni mamlaka moja ndo hutoa hizo amri kwenda Mtwara, darfur au DRC? Kwa mtazamo wangu kama ni mamlaka moja ndo hutoa amri kwenda Mtwara na Darfur na DRC basi wanajeshi wetu wanaweza kuumizwa sana darfur Kuliko Mtwara.
Naomba Kuwakilisha.
Kwanini?Safari kweli ni ndefu