Wakuu wa Majeshi tangu 1964

Wakuu wa Majeshi tangu 1964

lugoda12

JF-Expert Member
Joined
Jul 28, 2018
Posts
276
Reaction score
574
Wajue wakuu wa Majeshi waliohudumu nafasi zao tangu mwaka 1964-2024!
20240412_165049.jpg
 
Hivi hakuna mwanamke anayekidhi vigezo vya kuwa mkuu wa majeshi?
Hata huu Urais kama si kifo cha Mkuu kabla asingetokea kamwe mwanamama kuwa Rais,tumeona udhaifu kwa sample hii ya Kizimkazi.Hawafai hata kidogo kuwa kichwa kwa nafasi yoyote ile, labdda ukuu wa Shule tena iwe primary,na pia kutakuwa na kasumba sana wakiwa wakuu wa shule😂,Am sorry mama,shangazi dada na mke wangu mpendwa, ila huo ndio ukweli .
 
Ahsante kwa mada hii nzuri,imenikumbusha mengi mazuri ,hao Generals wa role mbili za juu salute kwao,wamepiganisha vita,kuanzia za ukombozi wa Africa hadi na Uganda na hawakuwa na blue lights convoy,simple kabisa,namkumbuka sana T.Kiwelu pale nyumbani kwake karibu na ilipokua Hotel karibu (ladwas),simple guy ,always greeting n good smiles
 
Back
Top Bottom