Wakuu wa Mikoa na Wakuu wa Wilaya katika rasimu ya II ya katiba mpya!

Wakuu wa Mikoa na Wakuu wa Wilaya katika rasimu ya II ya katiba mpya!

kelao

JF-Expert Member
Joined
Sep 24, 2012
Posts
8,132
Reaction score
5,800
Habari za jioni wana JF,naomba kujua kwa wale walioisoma rasimu ya II ya katiba mpya iliyokabidhiwa kwa Rais hivi karibuni,rasimu hii ya II imependekeza nini kuhusu wakuu wa mikoa na wilaya katika uteuzi wao.Itakumbukwa kuwa hawa wakuu wa mikoa na wilaya wamekuwa wakifanya kazi kisiasa zaidi kuliko kiserikali.!
 
Hilo linasubiri katiba ya Tanganyika yetu.

ni kweli kabisa, nimeona changamito ya wengi wanaisoma rasimu hii kama Katiba ya zamani, hii sasa ni ya JMT ambayo inagusa zaidi yale mambo 7, so unapochangia jikite mawazo yako huko
 
Back
Top Bottom