Mr. zero
Gharama ni kama ifuatavyo:
Subsistence Allowance Mr & Mrs X 80,000.00 X 14dys= 2,240,000.00
+ watoto 4 X 40,000.00 X 14dys= 2,240,000.00
- Disturbance Allowance 823,000
- Kusafirisha mizigo = 2,000,000/=
- Night Allowance kwenda kuripoti na kurudi kufunga mizigo kwa Mhe. 80,000.00 X 14
Days= 1,120,000.00
Posho ya dereva Dereva 45,000.00 X 14= 630,000.00
Wastani wa Mafuta kwa anayetoka Ruvuma kwenda Kilimanjaro Lita 540 X 1,500.00 kwa lita = 810,000.00
Gharama ya kusafirisha gari binafsi kama unalo 700,000.00
JUMLA KUU= 10,563,000.00 kwa Familia moja. Hapa wamehamishwa 11 zidisha mara 11 utapata 116,193,000.00
Hapo hujaletewa risiti za kuokoteza na gharama za kubadili samani za nguvu na magodoro ya nyumba ya Mhe. maana kila takachokuta atakiita kichafu. Nilisahau gharama za ukarabati wa nyumba hizo. Ni lazima zipakwe rangi au kubomoa kuta ili zifiti mahitaji ya Mkuu. Piga hesabu.Kwa wastani gharama ya ukarabati itakuwa ni Tshs. ngapi. Obviously haipungui 50,000,000.00 ukizidisha mara 11 utapata = 550,000,000.00. Mzee kazi ipo. Kwa mawazo yangu tija haipatikani kwa kuhamisha watu tu. Kama umeshindwa umeshindwa huwezi kuuja na jipya. Nimepata pia kutoka mtonyaji wangu wa unyalu kuwa Kandoro kapigwa Mwanza ili kumzuia kuanza kampeni mapema za kugombea Jimbo la Kalenga.Kama ambavyo mpiga debe wake Bw. Elaston Mbwilo alivohamishiwa Mtwara.