<br />wadau naombeni mnisaidie kujua kama ile tabia ya wakuu wa wilwya ya kuchapa walimu viboko itaendelea ili nijiandae kwa kuvaa nguo ngumu ikiwezekana ngozi kabisa. lakini pia je kitendo cha kuchapa walimu viboko kimesaidia au ndiyo kimedumaza zaidi elimu na morali ya walimu?
<br />mm ni mwalimu sasa we subir mkuu wa wilaya ajipendekeze kwenye kasekondar ketu halafu alete zake aone kama hatarudi kwake bila meno!<br />
Hao walim waliochapwa hawajui haki zao ndo maana.
huo ni askari mdomo tu................huhmm ni mwalimu sasa we subir mkuu wa wilaya ajipendekeze kwenye kasekondar ketu halafu alete zake aone kama hatarudi kwake bila meno!
Hao walim waliochapwa hawajui haki zao ndo maana.