Anaanza: anasema umuja wa ea ulipita ulikuwa ni wa viongozi ndiyo maana uliweza kufa, tofauti na umoja huu unajumisha watu na maamuzi yanaanzia chini kwenda juu. Kuhusu soko la pamoja amesema litarahisisha watu kupata huduma na bidhaa, ushuru wa pamoja, urahisi wa mipaka kuingia kwenye nchi husika bila vikwazo katika nyanja ya elimu ya juu na ajira.